Azam Fc yamtambulisha Lawi

Joel JJ By Joel JJ β€’ 4th July 2025


Azam Fc yamtambulisha Lawi

Klabu ya Azam Fc imetambulisha usajili wa beki wa kati Lameck Lawi aliyejiunga na timu hiyo kutoka klabu ya Coastal Union ya Tanga

Kulingana na taarifa iliyotolewa na Azam Fc jana, Lawi amesaini mkataba wa miaka miwili kuwatumikia wauza ice cream hao

Azam Fc imeshinda vita dhidi ya vigogo Simba na Yanga ambao kwa nyakati tofauti walihusishwa mchezaji huyo wa timu ya Taifa


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.