Mshambuliaji wa timu ya taifa, Taifa Stars, Mbwana Samatta 'Samagol' amepata msiba mkuubwa wa kufiwa na baba mzazi, Ally Pazi Samatta.
Mzee Samatta amefariki dunia asubuhi ya leo Jumapili akiwa nyumbani kwake Mbagala Dar es Salaam na taarifa za kifo chake zimethibitishwa na mwanae, Mohamed Samatta.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa ndugu wa familia, Mzee Samatta alikuwa akisumbuliwa..... download Xtra 90 App



