Chelsea wanatarajia kupokea ofa ya zaidi ya pauni milioni 50 kwa ajili ya mshambuliaji wao wa England mwenye umri wa miaka 23, Noni Madueke, ambaye amekubaliana masharti binafsi na Arsenal kuhusu uhamisho. (Telegraph)
Mshambuliaji wa Sporting mwenye umri wa miaka 27 kutoka Sweden, Viktor Gyokeres, yuko tayari kutoa takriban pauni milioni 2 za mshahara wake ili kusaidia uhamisho wake wa..... download Xtra 90 App



