Katika hali ya sintofahamu juu ya mustakabali wa kiungo nyota wa Yanga SC, Stephane Aziz Ki, klabu ya Al Ahly Tripoli kutoka Libya imeendelea kufuatilia kwa karibu maendeleo ya dili hilo huku ikisubiri nafasi ya kuingia tena mezani iwapo Wydad Athletic ya Morocco itashindwa kufanikisha usajili wake, imefahamika.
Kwa mujibu wa makubaliano yaliyowekwa kati ya Yanga SC na Wydad, tarehe ya..... download Xtra 90 App



