Azam Fc yamtambulisha Manula

Joel JJ By Joel JJ β€’ 9th July 2025


Azam Fc yamtambulisha Manula

Klabu ya Azam Fc imethibitisha kukamilisha usajili wa aliyekuwa mlinda lango wa Simba Aishi Manula

Manula amesaini mkataba na Azam Fc ambao utamuweka Chamazi hadi mwaka 2028

Anatua Azam Fc baada ya kumaliza mkataba kunako klabu ya Simba aliyoitumikia tangu mwaka 2017

Manula ni kama amerejea nyumbani kwani alisajiliwa na Simba akitokea klabu hiyo mwaka 2017

Manula anakuwa usajili wa tatu kutangazwa na Azam Fc katika dirisha hili baada ya Muhsin Malima na Lameck Lawi


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.