Kombe la Dunia la Klabu la FIFA 2025 limejaa msisimko, na sasa mashabiki wanajiandaa kwa fainali ya kusisimua ambapo Chelsea FC watavaana na Paris Saint-Germain (PSG) katika pambano la vigogo wa Ulaya. Baada ya maonyesho ya nguvu kwenye hatua ya nusu fainali, vilabu vyote viwili vimeonyesha kuwa viko tayari kupigania utawala wa dunia.
PSG Yaidhalilisha Real Madrid 4-0 Kufuzu..... download Xtra 90 App



