Bayern Munich wamewasilisha ofa ya euro milioni 52 (pauni milioni 44.7) kwa ajiliu ya winga wa Liverpool na Colombia Luis Diaz, 28 (Bild).
Nottingham Forest wamekataliwa tena ofa yao kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wa Brentford Yoane Wissa, 28, ikiaminika kuwa ni chini ya pauni milioni 25 walizowahi kutoa kwa mchezaji huyo wa kimataifa wa Kongo mnamo Januari, Bees wanataka pauni..... download Xtra 90 App



