Winga wa Manchester United Alejandro Garnacho amekataa kuhamia klabu ya Al Nassr, ya Saudia huku mchezaji huyo wa kimataifa wa Argentina mwenye umri wa miaka 21 akipendelea kuhamia Ulaya. (Telegraph)
Bayern Munich inatarajiwa kuelekeza mawazo yake kwa mshambuliaji wa Arsenal na Ubelgiji Leandro Trossard, 30, ikiwa haitafanikiwa kumsajili winga wa Liverpool Luis Diaz, 28. (Bild - kwa..... download Xtra 90 App



