Usiku wa kihistoria kwa mashabiki wa Chelsea duniani ulitokea jana, baada ya The Blues kuonesha ubora wa hali ya juu na kuifunga Paris Saint-Germain mabao 3-0 katika fainali ya Kombe la Dunia la Klabu (FIFA Club World Cup). Fainali hiyo iliyofanyika katika Uwanja wa MetLife, New Jersey, Marekani, iliwashuhudia Chelsea wakitwaa taji hilo kwa mara ya pili katika historia yao, baada ya mafanikio..... download Xtra 90 App



