Klabu ya Simba inatajwa kuwa katika mchakato wa kumsajili kiungo wa Coastal Union, Hussein Semfuko, imefahamika
Kocha Fadlu Davids amependekeza nyota huyo kuongezwa katika kikosi chake akiamini ataongeza nguvu katika safu yake ya kiungo
Taarifa kutoka chanzo cha karibu na mchezaji huyo, imebainisha mazungumzo yamekamilika na kilichokuwa kinasubiriwa ni kusaini mkataba kusubiri utambulisho rasmi
Simba inaboresha safu yake ya kiungo ambapo mkapa sasa imeachana na viungo watatu Omary Omary, Fabrice Ngoma na Augustine Okejepha



