Saga ya usajili wa kiungo mahiri Feisal Salum ‘Fei Toto’ inaendelea kuchukua sura mpya, baada ya Klabu ya Azam Fc kuweka ngumu juu ya kumwachia nyota wao huyo. Huku Simba ikiendelea kumuwinda, Azam Fc imeweka dau kubwa, likionekana kuziba njia kwa timu zinazotamani huduma ya kiungo huyo fundi.
Kwa mujibu wa taarifa, Fei Toto tayari amefikia makubaliano binafsi na Simba, ambapo Wekundu..... download Xtra 90 App



