Nahodha wa Simba Mohammed Hussein 'Zimbwe Jr' amewaaga rasmi mashabiki wa Simba baada ya miaka 11 ya utumishi kwa Wekundu wa Msimbazi
Leo inaweza kuwa siku ngumu kwa mashabiki wa Simba kuagana na nahodha wao, huku majira ya mchana pia wakiagana na kiungo Deborah Mavambo
Zimbwe Jr anatajwa kujiunga na klabu ya Yanga, mabingwa watetezi ligi kuu y NBC




