Timu ya taifa ya Kenya ‘Harambee Stars’, imejitoa katika mashindano maalum yaliyoandaliwa na Shirikisho la Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) ambayo yalitarajiwa kuanza hii leo kwenye Uwanja wa Black Rhino uliopo Karatu yakihususha timu nne.
Taarifa iliyotolewa Shirikisho la Kenya (KFK), imeeleza sababu ya kujiondoa katika michuano hiyo;





