Timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ leo itacheza mchezo wa kwanza wa kimataifa wa kirafiki, kwa ajili ya kujiandaa na fainali za CHAN 2024 zitakazoanza mapema mwezi Agosti.
Stars itacheza dhidi ya Uganda (The Cranes) kwenye uwanja wa Black Rhino, Karatu-Arusha saa 9:00 asasiri.




