Stars kumenyana na Uganda Cranes maandalizi CHAN 2024

Joel JJ By Joel JJ • 22nd July 2025


Stars kumenyana na Uganda Cranes maandalizi CHAN 2024

Timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ leo itacheza mchezo wa kwanza wa kimataifa wa kirafiki, kwa ajili ya kujiandaa na fainali za CHAN 2024 zitakazoanza mapema mwezi Agosti.

Stars itacheza dhidi ya Uganda (The Cranes) kwenye uwanja wa Black Rhino, Karatu-Arusha saa 9:00 asasiri.


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.