Real Madrid wako tayari kutoa pauni milioni 100 kwa kiungo wa Manchester City na Hispania Rodri, 29 (Sun). Winga wa Manchester City na England Jack Grealish, 29, ni mmoja wa wachezaji kadhaa wa upande wa kushoto wanaofuatiliwa na Napoli (Corriere dello Sport).
Javi Guerra amekataa ofa ya kurefusha mkataba wake na Valencia, huku Manchester United ikiripotiwa kumfuatilia kiungo huyo wa..... download Xtra 90 App



