Katika kipindi hiki cha dirisha la usajili, klabu ya Yanga SC imeendelea kudhihirisha ukubwa wake si kwa kusajili majina mapya tu, bali kwa kuhakikisha inawadhibiti nyota wake muhimu waliokuwa wamemaliza mikataba. Hili limekuwa ni jambo la msingi kwa timu kubwa duniani, kuimarisha misingi kabla ya kuongeza mapambo.
Baada ya kuthibitisha kuwaongezea mikataba Mudathir Yahya na Pacome..... download Xtra 90 App



