Klabu ya Azam FC jana iliingia kambini na kuanza mazoezi rasmi kwaajili ya mandalizi ya msimu ujao wa 2025/25 ambapo Azam FC itashiriki Ligi Kuu Bara, Kombe la Shirirkisho Afrika, na kombe la CRDB
Kocha Mkuu wa timu hiyo Florent Ibenge jana alianza rasmi kibarua cha kuwanoa matajiri hao wa Chamazi
Kulingana na ratiba ya pre-season iliyotolewa na timu hiyo, Julai 28-30 watajifua Azam..... download Xtra 90 App



