Miamba ya soka nchini Simba na Yanga inaendelea kushindana katika kutangaza wachezaji wapya ziliowasajili kwa msimu ujao wa mashindano mbalimbali.
Simba jana walitangaza usajili mpya wa mshambuliaji raia wa Ghana Jonathan Sowah, aliyejiunga na miamba hiyo akitokea Singida Blackl Stars, alikomaliza msimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara akiwa na mabao 13 baada ya kusajiliwa dirisha..... download Xtra 90 App



