Droo ya mechi za hatua ya awali na raundi ya kwanza ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika (CAF CL) imefanyika leo jijini Dar es salaam mabingwa wa soka Tanzania Bara, Yanga wakipangwa kuchuana na Wiliete Benguela ya Angola
Mchezo wa kwanza utapigwa Angola na mechi ya marudiano kupigwa wiki moja baadae uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam





