Singida Black Stars itaanza kampeni ya Kombe la Shirikisho barani Afrika 2025/26, kwa kucheza na Rayon Sports ya Rwanda inayonolewa na kocha wa zamani wa Simba SC Robertinho.
Singida Black Stars itaanzia ugenini kisha itamalizia nyumbani Tanzania. Mshindi wa mechi ya Rayon Sports dhidi ya Singida Black Stars atakutana na mshindi wa mechi ya Flambeau Center ya Burundi dhidi ya mshiriki wa..... download Xtra 90 App



