Local,Normal News,Yanga, Simba, Azam, Fountain Gate, Singida BS

Stars yaichapa Madagascar 2-1, yatinga robo fainali CHAN 2024

Joel JJ By Joel JJ
β€’
9 Aug 2025
Stars yaichapa Madagascar 2-1, yatinga robo fainali CHAN 2024

Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imekuwa timu ya kwanza kutinga robo fainali ya michuano ya CHAN 2024 baada ya kuichapa Madagascar mabao 2-1 katika mchezo uliopigwa uwanja wa Benjamin Mkapa

Mabao ya mapema kipindi cha kwanza yakiwekwa kambani na Clement Mzize yametosha kiuhakikishia Stars ushindi wa tatu mfululizo na kufikisha alama 9

Alifunga bao la kwanza dakika ya 13 akimalizia mpira uliogonga mwamba baada ya shuti la Mudathir Yahya

Mzize alifunga bao la pili dakika ya 20 akimalizia mpira wa kona uliopigwa na Feisal Salum 'Fei Toto'

Tanzania imejihakikishia kutinga robo fainali ikiwa kinara wa kundi B na alama 9 huku ikiwa na mechi moja ya kukamilisha ratiba dhidi ya Afrika ya Kati

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
46m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’