Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imekuwa timu ya kwanza kutinga robo fainali ya michuano ya CHAN 2024 baada ya kuichapa Madagascar mabao 2-1 katika mchezo uliopigwa uwanja wa Benjamin Mkapa
Mabao ya mapema kipindi cha kwanza yakiwekwa kambani na Clement Mzize yametosha kiuhakikishia Stars ushindi wa tatu mfululizo na kufikisha alama 9
Alifunga bao la kwanza dakika ya 13..... download Xtra 90 App



