Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Yanga Ali Kamwe amesema klabu hiyo haina sababu ya kumzuia mchezaji pale anapopata ofa nzuri ya kujiunga na klabu nyingine
Kamwe ametoa kauli hiyo baada ya kile kinachojadiliwa kuhusiana na sakata la mshambuliaji Clement Mzize ambaye Yanga imepokea ofa kutoka klabu mbalimbali kwa ajili ya kumsajili
Kamwe amekanusha taarifa zinazoenezwa kuwa..... download Xtra 90 App



