Manchester City wamefanya mazungumzo na Paris St-Germain kuhusu mpango wa kumnunua mlinda mlango wa Italia Gianluigi Donnarumma, 26, huku suala la kibinafsi halitarajiwi kuwa tatizo. (RMC Sport -in French)
Galatasaray wamemtafuta mlinda mlango wa Manchester City Mbrazil Ederson mwenye umri wa miaka 31, ambayo ingefungua njia kwa Donnarumma kuhamia Etihad Stadium. (Fabrizio..... download Xtra 90 App



