Karia atetea Urais TFF kwa kishindo

Joel JJ By Joel JJ β€’ 16th August 2025


Karia atetea Urais TFF kwa kishindo

Wajumbe wa mkutano mkuu TFF wamempitisha Rais Wallace Karia kwa kumpigia kura za ndio kwa asilimia 100.

Karia alikua mgombea pekee wa nafasi wa Urais, kufuatia wagombe wengine kuenguliwa kwa kukosa vigezo vya kikanuni.

Ushindi huo unamfanya Karia aiongoze TFF kwa awamu ya tatu ya miaka minne


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.