Klabu ya Simba jana ilizindua jezi za klabu hiyo kwa ajili ya msimu wa 2025/26
Jezi hizo zilizotengenezwa kwa ushirikiano kati ya kampuni ya Diadora na JayRutty, zilizinduliwa katika ukumbi wa Super Dome, Masaki na tayari zinapatikana madukani kwa bei ya rejareja ya Tsh 45,000/-






