Wakati kiungo Khalid Aucho akiwa tayari anajifua na kikosi cha Singida Black Stars, walima alizeti hao pia wamekamilisha usajili wa wachezaji wengine watatu walioitumikia Yanga msimu uliopita
Mlinzi wa kushoto Nickson Kibabage amekamilisha uhamisho wa kutua Singida BS jana akisaini mkataba wa mwaka mmoja
Kibabage alikuwa bado na mkataba wa mwaka mmoja na Yanga lakini makubaliano ya..... download Xtra 90 App



