Local,Transfer News,JKT, Simba

Mlinda lango Stars atua Simba

Joel JJ By Joel JJ
β€’
3 Sep 2025
Mlinda lango Stars atua Simba

Klabu ya Simba imetambulisha usajili wa mlinda lango namba moja wa timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' Yacoub Suleiman akitokea klabu ya JKT Tanzania

Yacoub amesaini mkataba wa miaka mitatu kuwatumikia Wekundu hao wa Msimbazi

Lilikuwa ni suala la muda Simba kuthibitisha usajili wake baada ya kufikia makubaliano na JKT Tanzania

Yacoub alikuwa nguzo muhimu ya kikosi cha JKT Tanzania msimu uliopita akiondoka na cleansheet nane na kuisaidia JKT Tanzania kumaliza katika nafasi ya sita

Ametua Msimbazi kumpa changamoto Moussa Camara, aliyeibuka mlinda lango bora msimu uliopita akikusanya cleansheet 19

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
47m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’