Klabu ya Simba imetambulisha usajili wa mlinda lango namba moja wa timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' Yacoub Suleiman akitokea klabu ya JKT Tanzania
Yacoub amesaini mkataba wa miaka mitatu kuwatumikia Wekundu hao wa Msimbazi
Lilikuwa ni suala la muda Simba kuthibitisha usajili wake baada ya kufikia makubaliano na JKT Tanzania
Yacoub alikuwa nguzo muhimu ya kikosi cha JKT..... download Xtra 90 App



