Timu ya Singida Black Stars imeandika historia kwa kutwaa kwa mara ya kwanza taji la CECAFA Kagame Cup 2025, baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Al Hilal Omdurman ya Sudan kwenye mchezo wa fainali uliopigwa Uwanja wa KMC Complex, jijini Dar es Salaam, Jumapili Septemba 15, 2025.
Dakika za mwanzo zilishuhudia mchezo wa kasi na ushindani mkali, timu zote zikionesha kiu ya..... download Xtra 90 App



