Klabu ya Chelsea imefufua tena azma ya kumsajili kipa wa Ufaransa na AC Milan Mike Maignan, 30, na huenda ikamjumuisha kwenye orodha ya uhamisho katika dirisha lijalo la usajili wa wachezaji baada ya kipa wake wa sasa Mhispania Robert Sanchez, 27, kutofanya vizuri katika mechi yao dhidi ya Manchester United siku ya Jumamosi. (Daily Express)
Mkufunzi wa Brighton Fabian Hurzeler amemtaka..... download Xtra 90 App



