Klabu ya Italia Inter Milan imeingia kwenye kinyang'anyiro cha kumsajili beki wa kati wa Crystal Palace Marc Guehi lakini Liverpool bado wanapewa nafasi kubwa ya kuinasa saini ya mchezaji huyo wa kimataifa wa Uingereza mwenye umri wa miaka 25. (Tuttosport - In Itali)
Mshambulizi wa Bournemouth Antoine Semenyo ana kipengele cha kuachiliwa huru katika kandarasi yake lakini Cherries..... download Xtra 90 App



