Local,Normal News,Yanga, Simba, Azam, Fountain Gate, Singida BS

Stars yapoteza mechi tatu mfululizo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
15 Oct 2025
Stars yapoteza mechi tatu mfululizo

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) jana imefungwa 2-0 na Iran kwenye mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliopigwa katika uwanja wa Rashid, Dubai.

Stars imepoteza mechi zake tatu mfululizo kwenye michuano yote huku ikishindwa kupata ushindi kwenye mechi 6 mfululizo vipigo vinne, sare mbili.

Ilipoteza mechi mbili za mwisho kuwania kufuzu kombe la Dunia ikifungwa 1-0 na Zambia na Niger

Akizungumza baada ya mchezo wa jana, kocha Hemed Suleiman 'Morocco' alisema alitumia mchezo huo kuwapa nafasi wachezaji zaidi ikiwa ni katika mpango mkakati wa kuunda kikosi imara kwa ajili ya michuano ya Afcon itakayofanyika baadae mwaka huu nchini Morocco

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
1h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
4h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
6h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
8h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
10h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
11h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
11h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
13h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
16h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’