Klab ya Mbeya kwanza ya Championship imekamilisha usajili wa kiungo mkabaji raia wa Congo DR Mukoko Tomombe.
Kiungo wa zamani wa vilsbu vya As Vita,TP Mazembe na Yanga amesaini kandarasi ya miezi sita (6).
Mukoko amejiunga na klabu hiyo akiwa mchezaji huru.
Tangu aachane na klabu ya TP Mazembe, Mukoko alikaa nje ya uwanja kwa muda mrefu.
Bado anapambana kurejesha umahiri wake ambao ulimfanya asajiliwe na Yanga msimu wa 2021/22



