Mshambuliaji wa Liverpool na na timu ya taifa ya Misri Mohamed Salah, 33, na Mshambuliaji wa Real Madrid na timu ya taifa ya Brazil Vinicius Jr, 25, wanatarajiwa kuwa walengwa wakuu Ligi Kuu ya Saudia msimu huu. (Telegraph - usajili unahitajika)
Wadadisi wa Saudi Pro League wanaamini Salah ataondoka Liverpool msimu huu wa joto. (i Paper - usajili unahitajika).





