Kikosi cha Simba SC kipo nchini Tunisia ambako leo Jumamosi kitashuka dimbani kumenyana na Esperance de Tunis katika mchezo wa raundi ya tatu ya Ligi ya Mabingwa Afrika, kundi D.
Huu ni mchezo unaobeba uzito mkubwa kwa Wekundu wa Msimbazi katika harakati zao za kuendelea kusalia kwenye mbio za kufuzu hatua ya robo fainali.
Hizi ni dakika 90 za kwanza kwa Simba dhidi ya Esperance..... download Xtra 90 App



