Nyota wa Liverpool na timu ya taifa ya Misri, Mohamed Salah, anaendelea kuwa gumzo kubwa katika soko la usajili baada ya ripoti kuibuka kuwa klabu kadhaa za Saudi Arabia zinamuwinda kwa nguvu, zikilenga kumnasa mshambuliaji huyo majira ya joto ya mwaka 2026.
..... download Xtra 90 App



