Klabu ya Raja Casablanca ya Morocco inaripotiwa kuanza hatua za awali za kumnyemelea kiungo wa Young Africans SC (Yanga), Moussa Balla Conte, baada ya kuwasilisha ofa ya kutaka kumsajili nyota huyo raia wa Guinea.
Awali, Yanga ilikuwa na mpango wa kumtoa Conte kwa mkopo ili kumpa nafasi ya kupata muda zaidi wa kucheza, hasa baada ya mwanzo mgumu alioupata tangu ajiunge na kikosi..... download Xtra 90 App



