Kiungo mshambuliaji Shiza Kichuya amejiunga rasmi na klabu ya Coastal Union akitokea JKT Tanzania, hatua inayomrejesha mchezaji huyo mwenye uzoefu mkubwa kwenye ramani ya ushindani wa juu wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Kichuya, ambaye ana uwezo wa kucheza kama kiungo mshambuliaji au winga, anasifika kwa kasi, ubunifu na uwezo wa kufunga mabao muhimu. Ujio wake unaongeza nguvu katika safu ya..... download Xtra 90 App



