Chelsea wanamwona kiungo mshambuliaji Cole Palmer, 23, kama mchezaji "asiyeguswa" licha ya kuhusishwa na Manchester United, na wanamchukulia mchezaji huyo wa England aliye na mkataba hadi 2033 kuwa mhimili mkubwa wa mustakabali wa klabu hiyo. (Sky Sports)
Brighton wamekataa ofa kutoka Nottingham Forest kwa ajili ya beki wake wa England mwenye umri wa miaka 34, Lewis Dunk. (Sky..... download Xtra 90 App



