Kikosi cha Simba SC kesho Alhamisi kitashuka uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo kuikabili Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC.
Mechi hii inakuja wakati timu ya kocha Steve Barker inapitia kipindi kigumu cha kutopata ushindi katika mechi zake za hivi karibuni.
Simba ilidondosha alama mbili katika mechi ya mwisho dhidi ya Mtibwa Sugar, iliyomalizika kwa sare ya bao 1-1. Ushindi..... download Xtra 90 App



