Wachezaji wa timu ya taifa ya Morocco, Achraf Hakimi na Ismael Saibari, wamelazimika kufika mbele ya Kamati ya Nidhamu ya CAF kutoa maelezo na kujitetea kuhusiana na matukio yaliyojitokeza katika fainali ya AFCON 2025.
Matukio hayo yalianza baada ya wawili hao, kwa nyakati tofauti, kuonekana wakiondoa taulo la kipa wa Senegal, Edouard Mendy, upande wa goli na kulirusha pembeni ya..... download Xtra 90 App



