Jana Simba ilitambulisha usajili wa nyota mwingine aliyesajiliwa na Wekundu hao wa Msimbazi katika dirisha hili.
Mapema, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba Ahmed Ali alidokeza kuwa usajili huo umekamilishwa na mzabuni wa jezi kampuni ya JayRutty ikitimiza ahadi kwa Wanasimba.
Kiungo mshambuliaji Inno Jospin Loemba (21) kutoka klabu ya Colombe Sports ya Cameroon ndiye..... download Xtra 90 App



