Klabu ya Azam FC imeendelea kuimarisha mwenendo wake kwenye Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2β0 dhidi ya TRA United, katika mchezo uliochezwa Alhamisi usiku Januari 29, 2026, kwenye Uwanja wa Azam Complex.
Katika mchezo huo, Azam FC ilionyesha nidhamu ya hali ya juu na umakini mkubwa, huku ikitawala maeneo mengi ya uwanja dhidi ya TRA United waliokuwa..... download Xtra 90 App



