Wawakilishi wa winga wa England Raheem Sterling, 31, ambaye aliondoka Chelsea kwa makubaliano ya pande zote mapema wiki hii, wako kwenye mazungumzo na vilabu saba vya kiwango cha Ligi ya Mabingwa Ulaya vinavyotaka kumsajili. (Sky Sports)
Tottenham wanaangalia kwa umakini uwezekano wa kumsajili Sterling, ambaye sasa ni mchezaji huru, na kocha Thomas Frank yuko tayari na anaunga mkono..... download Xtra 90 App



