Ushindi wa bao 1-0 ambao Azam Fc waliupata dhidi ya Nairobi United jana umefufua matumaini ya wauza ice-cream hao katika kuisaka tiketi ya kufuzu robo fainali ya kombe la Shirikisho (CAFCC).
Bao la mapema lililofungwa na Feisal Salum 'Fei Toto' lilidumu kwa dakika zot 90 na kuishuhudia Azam Fc ikiipiga Nairobi United 'nje-ndani' sasa wakifikisha alama 6 kundi B huku Nairobi United..... download Xtra 90 App



