Mashabiki 45,900 wanatarajiwa kushuhudia mechi ya uamuzi ya Kundi B ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika (CAFCL) kati ya Al Ahly na AS FAR.
Mchezo huo utachezwa katika Uwanja wa Kimataifa wa Cairo, Misri, Jumapili, Februari 15, ambapo Al Ahly itakuwa mwenyeji.
Mamlaka za soka za Misri kwa kushirikiana na Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) zimetoa kibali cha idadi hiyo ya mashabiki..... download Xtra 90 App



