Paris Saint-Germain wako tayari kushindana na vilabu vya Ligi Kuu England kama Chelsea, Manchester United na Tottenham kwa kutoa ofa ya pauni milioni 100 kwa kiungo wa Cameroon mwenye miaka 22, Carlos Baleba, kutoka Brighton & Hove Albion. (Fichajes)
Tottenham Hotspur wameonyesha nia ya kumsajili mshambuliaji Mmrekani aliyewahi kuichezea Chelsea, Christian Pulisic (27), ambaye yuko tayari..... download Xtra 90 App



