International,Transfer News,

Tetesi za usajili Ulaya, Alhamisi Februari 19 2026

Joel JJ By Joel JJ
19 Feb 2026
Tetesi za usajili Ulaya, Alhamisi Februari 19 2026

Klabu ya Manchester United inajutia uamuzi wake wa kukubali kumuuza mshambuliaji wa Uingereza Marcus Rashford kwa Barcelona kwa £26m kwa sababu wanaamini kuwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 sasa ana thamani ya takriban £50m. (Star)

Beki wa Bournemouth na Argentina Marcos Senesi, 28, anataka kujiunga na kalabu ya Barcelona msimu huu wa joto baada ya kuamua hatasaini mkataba mpya na Cherries. (Team Tal)

Mshambuliaji Muingereza Liam Delap, 23, huenda akaondoka Chelsea msimu huu wa joto, na hivyo kuzua shauku kutoka kwa vilabu vikiwemo Manchester United, Newcastle na Everton. (Caughtoffside)

Manchester United wako tayari kumwachia winga wa Uingereza Jadon Sancho, 25, kuondoka bila malipo mwishoni mwa msimu huu. (Sun) West Ham inaongoza katika kinyang'anyiro cha kumsajili mshambuliaji wa Canada Promise David mwenye umri wa miaka 24 kutoka Union Saint-Gilloise. (Team Talk)

Tottenham huenda ikatumia fedha nyingi katika usajili wa msimu huu wa joto huku tetesi zikiibuka kwamba inanyatia kiungo wa Aston Villa Muingereza Morgan Rogers mwenye umri wa miaka 23. (Football Insider)

Mshambuliaji wa Tottenham Richarlison anaweza kukihama klabu hicho, huku Flamengo na Atletico Madrid zikionyesha nia ya kutaka kumsajili mchezaji huyo wa kimataifa wa Brazil mwenye umri wa miaka 28. (Fichajes - kwa Kihispania)

BBC

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
1h ago
READ MORE →
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
4h ago
READ MORE →
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
6h ago
READ MORE →
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
8h ago
READ MORE →
Rasmi: João Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: João Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
10h ago
READ MORE →
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
11h ago
READ MORE →
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
11h ago
READ MORE →
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
13h ago
READ MORE →
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
16h ago
READ MORE →
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE →