Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB) imeeleza sababu za kuhamisha Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga Sc na Simba Sc kutoka Uwanja wa Benjamin Mkapa Stadium hadi New Amaan Complex, Zanzibar
Mchezo huo namba 54 wa Ligi Kuu ya NBC unatarajiwa kuchezwa Machi 1, 2026, visiwani Zanzibar badala ya Dar es Salaam kama ilivyopangwa awali.
Akizungumza kuhusu mabadiliko hayo, Afisa Habari wa Bodi..... download Xtra 90 App



