Kocha maarufu wa Afrika Kusini, Pitso Mosimane, ameweka wazi uwezekano wa kurejea kuinoa klabu ya Mamelodi Sundowns, kufuatia ripoti zinazoeleza kuwepo kwa mazungumzo kati yake na uongozi wa timu hiyo.
Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali za michezo nchini Afrika Kusini, Sundowns inadaiwa kuchunguza uwezekano wa kufanya mabadiliko ya benchi la ufundi, hali iliyochochea tetesi za kurejea kwa..... download Xtra 90 App



