Kiungo wa kimataifa wa Brazil Casemiro, 33, ambaye anajiandaa kuondoka Manchester United mwishoni mwa msimu huu, anawaniwa na klabu za Inter Miami, Porto na Sao Paulo. (Sun)
Everton wamemfanya mshambuliaji wa Chelsea Liam Delap kuwa lengo lao kuu wa majira ya kiangazi. Muingereza huyo mwenye umri wa miaka 23 alitua Stamford Bridge msimu uliopita kutoka Ipswich Town. (Football..... download Xtra 90 App



