International,Transfer News,

Tetesi za usajili Ulaya, Jumamosi Februari 21 2026

Joel JJ By Joel JJ
β€’
21 Feb 2026
Tetesi za usajili Ulaya, Jumamosi Februari 21 2026

Kiungo wa kimataifa wa Brazil Casemiro, 33, ambaye anajiandaa kuondoka Manchester United mwishoni mwa msimu huu, anawaniwa na klabu za Inter Miami, Porto na Sao Paulo. (Sun)

Everton wamemfanya mshambuliaji wa Chelsea Liam Delap kuwa lengo lao kuu wa majira ya kiangazi. Muingereza huyo mwenye umri wa miaka 23 alitua Stamford Bridge msimu uliopita kutoka Ipswich Town. (Football Insider)

Robbie Keane, ambaye kwa sasa anasimamia Ferencvaros ya Hungary, anagombea kuchukua nafasi ya Oliver Glasner kama meneja wa Crystal Palace. (Mchezo)

Wolves huenda ikampoteza Mateus Mane msimu huu wa joto, huku Liverpool, Manchester United na Arsenal zikipigana vikumbo kwa kinda huyo wa kimataifa wa England mwenye umri wa miaka 18. (Caughtoffside)

Wajibu wa Aston Villa wa pauni milioni 35 kumsajili kiungo Harvey Elliott kutoka Liverpool kufuatia mkopo wake wa msimu mzima unaweza kuchochewa tu na mechi za Ligi Kuu ya Uingereza. Muingereza huyo mwenye umri wa miaka 22 amecheza ligi mara nne hadi sasa. (Sky Sports)

Wakati huohuo, nafasi ya Aston Villa kuendelea kumshikilia mshambuliaji wa Uingereza Morgan Rogers, 23, haitategemea wao kufuzu kwa Ligi ya Mabingwa. (Football Insider)

Lennart Karl atasaini mkataba mpya na Bayern Munich atakapofikisha umri wa miaka 18 Jumapili hii, hatua ambayo itakatiza hamu ya klabu kadhaa zinazotaka kumsajili ikiwa ni pamoja na Liverpool, Arsenal, Manchester City, Real Madrid na Paris St-Germain. (Team Talk)

Xavier Vilajoana ameanza mazungumzo kuhusu uwezekano wa kumsajili mshambuliaji wa Bayern Munich na Uingereza Harry Kane, 32, ikiwa atashinda uchaguzi wa mgombea urais wa Barcelona mwezi ujao. (ESPN)

Mshambulizi wa Argentina Tadeo Allende, 27, amejitolea kwa Inter Miami, baada ya kujiimarisha pamoja na wachezaji wenzake Lionel Messi, 38, na Luis SuΓ‘rez, 39, na kiungo Rodrigo de Paul, 31. (Goal.com).

BBC

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
2h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
2h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
3h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
4h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
4h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
5h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
20h ago
READ MORE β†’